Tuesday, August 29, 2006

FUNKY LINES

Phrase of the Week

“Nitakunywa Senator ka Obama”


 

One liners

“Nadhani nilisniff glue kwa sababu umestick in my mind tangu nikucheki”

“Usijifanye Wawesh ati mjanja”

 

Best Quote

Niliskia kwa t.v

“Navumilia kuwa Mkenya”

 

Posted by Keith Kinambuga at 12:17:17 | Permalink | Comments (2)

Unleash the entrepreneur in you:

           

Familia nzima hugandiza ovyo-ovyo kwa maslums

Tao hadi inda kerende zinangojana kupata habari ya janta imepatikana

Asubuhi sauti yangu kwa lami na vumbi zikihojiana

Sole za chuja zinaanza kugotana

Nauli nafuu itapatikana asubuhi na mapema

Wakenya tumeamua kuhema

Maisha si Pop ka ngoma ya Sema

Chakula kibandani ni chafua au choma

Kelele ni ya mate ikiflow kwa mdomo

Mkurugenzi anahisi moto kwa mkono

Kukufuta kazi nd’o alale unono

Sanasana kumanga chakula cha mchana ni bahati


 

Nimechoka na michoro za kudoro kwa kitanda

Nimechoka na pozi different za kutulia kwa sofa

Nimechoka na njaro mpya za kusorora mamanzi

Nimechoka na schemes weird za kusample keroro

Nipe nafasi niuze moto kwa Ibilisi, niuze dhahabu mbinguni

Wanadhani ni rahisi, kumbe nafuata kichochoro kati ya makahaba

Miaka arobaini kati ya mimba na msiba

Natia raondi ni ka niko rubber

Gava wanaban ads za barley nd’o wasee wanywe chang’aa

Usiku, mi ni mweusi kushinda kaa

Majambazi, masampa, marafiki hawanipati

Niko kazini, chini ya maji vile hipster huficha kasoro ya mateke

  

Posted by Keith Kinambuga at 12:10:21 | Permalink | Comments (1) »

Friday, August 4, 2006

Sometimes you just feel like you are going in circles this is one of those times:

Televisheni, Redio na hata kanda ya video

Naona ujinga wa mamboleo

Naona wale wale na blingbling, ma soap opera wakising sing, ile ile drink ndani wanasink

Macho yangu inablink,

Kiongozi habadiliki nimtricky, Nimemuona tangu siku za Kiini Macho

Kwa masa, mende za kisasa, kwa kona zinaosa

Council ya city itashika wafanyikazi na ilenge majambazi

Pozi za machozi kwa ngozi ya nephew zina hydraulics

Ninahandle beef na toothpick-naiprick kisha naispit

Same ol’ same ol’ hawanitaki na P.E kit

Makelele ya preps ilinishow kilele

Campus kucheat nilicheka under pressure

Mwakenya pleasure under measure

  When I met her:

Nilipokuona nilimesea wewe ni kama ngoma- lazima nikuroge

Nikasare kerende, Beshte ya me akanishow nisikupende,

Lakini mi ni ka mende, Lazima nione cracks and crevices

Kiakili ulinibless, ikabidi nibadilishe pace, kustroll chini ya mwezi vilazy

Ju maisha ya haraka ka paparazzi hufanya nijitumbukize kwa kazi,

Roho yangu ikawa wazi

Tukaflow viEasy kama E, soul Heavy kama D, uliniMaster kama P, sikueRupt kama K, ingawa uliniita Sir kama E

   

Posted by Keith Kinambuga at 14:13:42 | Permalink | No Comments »